Amedai kuwa, baada ya tukio hilo kutokea, mshitakiwa alipiga kelele na ndipo alijitokeza mwenyekiti wa kitongoji hicho pamoja na baadhi ya majirani wa eneo hilo.
Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2030, hawakufurahia uamuzi huo wakiamini unawaweka kwenye mazingira magumu hapo baadaye.
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa ...
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果