HATIMAYE, Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeanza tena safari zake kati ya Dar es Salaam na Iringa baada ya kusitisha ...
Uamuzi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) uliotoa agizo kwa Tanzania kufuta adhabu ya kifo ...
SHIRIKA la Ndege la Air Tanzania (ATCL) limeanzisha tena safari zake katika Mkoani Mtwara baada ya kusitishwa kwa muda sasa.
Usawa wa Kijinsia Tanzania: Safari ya Beijing hadi sasa Mchango wa Gertrude Mongella Gertrude Mongella, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa Beijing, alisema kuwa kushiriki kwake kwenye mkutano huo ...
Mkurugenzi mpya wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), Kash Patel ameelezea undani wa asili yake kuwa ni Afrika Mashariki ...
KAMPUNI ya Halotel imewakabidhi tiketi za ndege washindi wa ‘Vuna Pointi Twenzetu Dubai’ kwa ajili ya safari ya kwenda Dubai ...
MOJA ya makosa ambayo mwalimu Julius Nyerere amewahi kukiri kuyafanya wakati wa utawala wake na kuyajutia ni kuitambua ...
Serikali inatarajia kuingiza jumla ya Dola za Kimarekani 968,000 sawa na shilingi za kitanzania bilioni 2.5 kama ada ya vitalu vya uwindaji wa kitalii kwa mwaka bila mapato mengine. Hayo yamesemwa leo ...
Kabla hajakatwa mguu, Annah hakupenda kupigwa picha. Lakini baada ya safari yake ya saratani, aliamua kutumia mitandao ya ...
CHAMA cha mchezo wa mbio za magari duniani, FIA kimetoa kalenda mpya ya mbio za magari ubingwa wa Afrika na Tanzania itaandaa ...
Brigedia Jenerali George Mwita Itang’are, Mkuu wa Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) chini ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ au TPDF anatoa wito kwa Nchi Wanachama wa Umoja ...
*Mbunge naye ahusishwa kumwanga fedha kiasi cha 5,000 hadi 50,000/- kwa wajumbe ili wamuunge mkono, mwenyewe ajibu Na Shomari Binda, Rorya JOTO la Uchaguzi ndani ya ...