Wakati Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ikiapa kuurejesha Mji wa Goma, jiji lenye takriban watu milioni 3, kutoka mikononi mwa waasi wa M23, imeendelea kuishutumu Rwanda kwa madai ya ...
Hali ya wasiwasi inaongezeka katika mji wa Bukavu uliopo jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kufuatia kuwepo kwa waasi wa M23 katika wilaya jirani ya Kalehe kwa zaidi ya wiki m ...
WAASI wa M23 jana Januari 29 wameendelea na mashambulizi baada ya kuuteka Mji wa Goma huku wakielekea Bukavu Mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini, katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Vikosi vy ...