CHAMA cha mchezo wa mbio za magari duniani, FIA kimetoa kalenda mpya ya mbio za magari ubingwa wa Afrika na Tanzania itaandaa ...
Rais wa Congo Félix Tshisekedi anataka kurudisha ardhi aliyoipoteza kwa waasi, ikiwemo mji mkubwa wa mashariki wa Goma, na ...
Shirika la ndege la Ubelgiji limetangaza kusitisha safari zake za leo Jumatano kwenda na kutoka jijini Kinshasa kutokana na ...
Zaidi ya watu milioni moja laki mbili walio na virusi vya UKIMWI nchini Uganda wamo katika mashaka makubwa kufuatia hatua ya Marekani kusitisha ufadhili kwa huduma zinazotolewa kwao.
Uharibifu wa mali umeripotiwa kutokea Kinshasa wakati wa maandamano yalioongozwa na raia wenye hasira kutokana na kuendelea ...
Ni chini ya miezi miwili tu kabla ya mingurumo 'vroooooom' ya injini za magari kusikika kwa mara nyingine tena nchini Kenya, ...
KUSHINDA mechi ya ufunguzi wa michuano ya ICC League B dhidi ya Italy na tatu nyingine zinazofuata, ndio azma kuu ya timu ya Tanzania katika ligi hii kimataifa inayoanza kuchezwa rasmi ijumaa ...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko unaoshukiwa kuwa wa virusi vya ugonjwa wa Marburg umewaua watu wanane katika mkoa wa Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeahidi kutoa Dola za Marekani 2.5 bilioni sawa na Sh6.4 trilioni, kwa ajili ya ...
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limependekeza mabadiliko ya sheria kupiga marufuku matumizi ya simu kwa ...
MJADALA katika toleo lililopita ulibainisha kuwa, maboresho ya kodi na miundo ya ujumuishaji ya hatua kwa hatua ...
2025年荷兰驻华大使馆在以下日期闭馆: 你可以在荷兰驻香港总领事馆的网站上查询其闭馆日。